Thursday, November 6, 2014

FR JAMES RUGEMALIRA AHIMIZA UWEKEZAJI MKOANI KAGERA


 Katibu Mkuu mstaafu wa Shirikisho la vyama huru vya wafanyakazi (ICFTU/AFRO), Andrew Kailembo(kulia), akiwa katika mkutano wa wadau mbalimbali wa kujadili maendeleo ya mkoa wa Kagera uliofanyika jana.

 Wakili wa Kujitegemea, wa IMMMA ADVOCATES, Protas Ishengoma akiongoza mkutano huo.


 REV.Fr Kamugisha (kulia), ambaye ni Mkurugenzi wa Hoteli ya Kolping akichangia mada. Kutoka kushoto ni Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr, James Rugemalira na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu, Fabian Masawe.
 Wanahabari wa mkoa wa Kagera wakiwa kwenye mkutano huo.
Mkuu wa Utawala wa Jumuia ya Afrika Mashariki, mstaafu, Abdul Katabaro naye alipata fursa ya kuchangia katika mkutano huo muhimu wa kuhimiza uwekezaji mkoani humo.

No comments:

Post a Comment