Thursday, November 20, 2014

MMILIKI WA LINAS CLUB BUKOBA AFARIKI AKIFANYA MAPENZI NDANI YA GARI


 Mmiliki wa Club ya Linas ya mjini Bukoba, Leonard Mtensa, akiwa hospitali baada ya kufikishwa hapo akiwa amefariki kwa kile kilichoelezwa na Polisi mkoa kuwa alifariki wakati akiwa katika mahaba na mpenzi wake ndani ya gari.
 Tamko la Polisi mkoa kuhusu kifo hicho.
 Mdada anayedaiwa kuwa mke wa marehemu.
Mke wa marehemu akilia huku akiugusa mwili wa marehemu mumewe wakati ukiwa hospitalini.

No comments:

Post a Comment