Monday, June 16, 2014

Shirika la Kimataifa la Wakimbizi [ IO M] lawafunda waandishi wa Dodoma jinsi ya kuandika habari za wakimbizi


Meneja wa shirika la Kimataifa la Uhamiaji [I O M] Charles Mkude
akiwaonyesha wandishi wa Habari hawapo pichani moja ya picha
zinazoonyesha wakimbizi wanavyosafili kwa tabu kwa kutumia malori,
Meri na maboti wakiwa wamejazana bila kujali watoto na mizigo

Mmoja wa waandishi hao Paul Mabeja akiwasilisha mapendekzo ya
majadiliano ya vikundi kwenye semina hiyo.
Waandishi wa Dodoma wakiwa darasani kwenye mafunzo hayo 

No comments:

Post a Comment