Wednesday, July 26, 2017

MAKAMU WA RAIS MH SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 100 YA SCAUT MJINI DODOMA NA KUWAVISHA NISHANI VIONGOZI WASTAAFU

 Mama FATMA KARUME akivishwa nishani ya heshima kwa niaba ya hayati ABEID  AMAN KARUBE.
 Rais mstaafu wa tanzania wa awamu ya nne MH JAKAYA KIKWETE akivishwa nishani ya heshima na makamu wa rais MH SAMIA SULUHU.
 Rais mstaafu wa zanzibar akivishwa nishani.
 Rais mstaaf wa awamu ya pili MH ALLY HASSAN MWINYI akivishwa nishani ya heshima na makamu wa rais MH SAMIA SULUHU.
 Makamu wa rais MH SAMIA SULUHU akimvisha nishani ya heshima waziri mkuu staafu MH SALIMU AHMED SALIMU katika maadhimisho ya miaka 100 ya SCAUT TANZANIA.
Makamu wa rais mh SAMIA SULUHU HASAN akiongea katika maadhimisho ya miaka 100 ya SCAUT mjini dodoma.

No comments:

Post a Comment