Wednesday, October 8, 2014

TUTAFAKARI NENO LA HEKIMA LA MTU HUYU,MARK JAMES MWANDOSYA.

Kuna uhusiano kubwa sana kati ya mabadiliko ya uchumi kwa maana ya mfumo,na uanzishwaji wa vyombo vya udhibiti,dhana ya udhibiti ilipiga kasi baada ya kuanza zoezi la ubinafsishaji wa sekta ya umma.katika hali ya kawaida vyombo vya udhibiti vingeanzishwa kwanza kabla ya zoezi la ubinafsishaji.na ingekuwa vyema pia zoezi la ubinafsishaji liende sambamba na uanzishaji wa vyombo vya udhibiti.

MARK JAMES MWANDOSYA
Katika kitabu chake cha UDHIBITI WA HUDUMA ZA KIUCHUMI TANZANIA.

No comments:

Post a Comment