Thursday, October 9, 2014

RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA RASMI SASA:RAIS KIKWETE AKABIDHIWA MJINI DODOMA.


Mwenyekiti wa Bunge maalum la katiba Mhe.Samuel Sitta akikabidhi rasimu ya katiba inayopendekezwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati wa sherehe za kukabidhi rasimu hiyo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Mohamed Ali Shein, kwa pamoja wakikata utepe kuzindua rasmi Rasimu ya Katiba inayopendekezwa baada ya kukabidhiwa rasmi na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sita leo mjini Dodoma.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Mohamed Ali Shein, kwa pamoja wakiinua kuonyesha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa baada ya kukabidhiwa rasmi na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta na kuizindua leo mjini Dodoma.
Wakifurahi kwa pamoja....

No comments:

Post a Comment