Tuesday, October 21, 2014

KAMANDA WA VIJANA CCM DODOMA AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI KWA SHULE YA SECONDARI HIJRA.

Baadhi ya wazazi wa wahitimu wa kidato cha nne katika shule ya
Hijra Sekondari wakiwa katika sherehe za mahafari ya kuwaaga.
Mfanyabiashara Haidary Gulamali mbaye pia ni Kamanda wa umoja wa
vijana wa chama cha mapinduzi [UVCCM] mkoa wa Dodoma akifafanua jambo
alipokuwa akiongea na wanafunzi waagwa wa kidato cha nne wa shule ya
Hijra Sekondari wakati wa mahafali yao
Mfanya Bishara maarufu Haidary Gulamali akiwakabidhi uongozi wa
shule ya Sekondari ya Hijra ya mjini Dodoma mifuko ya saluji 50 kwa
ajli ya ujenzi wa mabweni ya wanafunzi, ambapo wanafunzi wa shule hiyo
wamekua wakipata tabu ya mabweni hali ilyoulazimu uongozi shuleni hapo
kuteua baadhi ya madarasa kuwa mabweni.
Mmoja wa wahitimu wa kidato cha nne katika shule ya hijra
Sekondari akipokea cheti cha kumaliza masomo yake toka kwa kamanda wa
UVCCM Haidary Gulamali.

No comments:

Post a Comment