Thursday, April 4, 2013

WATUHUMIWA WA KUANGUKA KWA JENGO LA GHOROFA 16 WAFIKISHWA MAHAKAMANI.

 Mmiliki wa jengo la ghorofa 16 lililoanguka na kusababisha vifo wa watu 34 na majeruhi Hussein Raza wa kwa kutoka (kulia) akiwa na washitakiwa wengine kumi waliokaa mstari wa mbele katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam walipofikishwa leo
 Hussein Raza ambaye ndiye mmiliki wa Jengo hilo akipelekwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam
Hussein Raza akiswali kabla ya kuingia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment