Thursday, September 7, 2017

RAIS WA TLS NA MWANASHERIA WA CHADEMA( MB) TUNDU LISU ASHAMBULIWA KWA RISASI NA WATU WASIO JULIKANA.

TAARIFA zilizotufikia ni kwamba Rais wa chama cha mawakili Tanganyika (TLS) Tundu Lisu amepigwa risasi tano na watu wasiojulikana na amekimbizwa hospitali

Tukio hilo limetokea mjini Dodoma mchana wa leo nyumbani kwake Area D akiwa ktk gari yake akijiandaa kwenda Bungen

No comments:

Post a Comment