Monday, March 27, 2017

NEY WA MITEGO HUENDI HILI NI MTEGO NA SERIKALI IMEKUPUUZA.



Ndugu zangu,
Kwenye hili la kuruhusu wimbo wa msanii kuchezwa kwa matani yake, na mengine yaongezwe kwenye tungo, Waziri Mwakyembe amefanya yote sahihi.
- Kwamba amelifanya lililoonekana kubwa na lenye madhara kuwa dogo huku akionyesha wazi kuwa Bwana Mkubwa mwenyewe kaliona hilo na wala hana shida nalo.
Yumkini Harrison Mwakyembe anafungua ukurasa mpya. Kwamba Serikali ina mengine ya kuhangaika nayo, na si kila lisemwalo anayesema atingishwe. Na tusubiri tuone.
Wache Waongee!

No comments:

Post a Comment