Tuesday, February 24, 2015

KITUO CHA POLISI PAMOJA NA MAGARI VYACHOMWA MOTO NA WANANCHI HUKO ILULA MKOANI IRINGA BAADA YA POLISI KUTAKA KUKAMATA MUUZA POMBE ZA KIENYEJI

Hapa wananchi wakiwa wameziba barabara kwa Mawe na kwa kuchoma moto matairi katikati ya barabara
Kuna vurugu kubwa ambayo inaendelea hivi sasa kwenye mji mdogo wa Ilula  

No comments:

Post a Comment