Tuesday, July 1, 2014

Tume ya uchaguzi ya Taifa katika maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kula kwa kutumia mfumo wa Teknojia wa BIOMETRIC VOTER REGISTRATION [BVR] kwa waandishi wa habari Dodoma

Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliopo mkoa wa Dodoma
wakiwa katika ukumbi wa manispaa kufuatili semina iliyotolewa na Tume
ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu Maboresho ya kudumu ya Daftari la wapiga kura

Jaji Mkuu Mstaafu wa Nzanzibar ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa
Tume ya Taifa Uchaguzi  Mhe. Hamid Mohamoud Hamid akifungua Mafunzo
kwa waandishi wa Habari wa mkoa wa Dodoma kuhusu Maboresho ya kudumu
ya Daftari la wapiga kura iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Kushoto Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Tume hiyo Oigenia Mpanduji,.
kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Mhandisi Lusako
Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Tume ya uchaguzi ya Taifa
Oigenia Mpanduji akitoa ufafanuzi wa jambo alipokuwa akitoa mada kwa
waandishi wa habari wa Mkoa wa Dodoma kuhusu, Maandalizi ya Maboresho
ya Daftari la kudumu wapiga kura kwa kutumia Teknolojia ya Biometric
Voter Registration [BVR]  leo.

PICHA NA JOHN BANDA

No comments:

Post a Comment