
Mmoja ya Kiungo cha Mguu

Baadhi ya Mifuko ambamo Maiti izo zilikuwa zimewekwa

Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko hiyo

Umati wa watu wakiwa wanashuhudia tukio hilo muda huu

Watu zaidi wakiwa wanaongezeka katika eneo la Tukio
Mpaka tunaondoka eneo la Tukio Miili ilikuwa imechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa Uchunguzi zaidi, Taarifa kamili italetwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment