Wajasiriamali mkoani Dodoma
wakishangilia jambo walipokuwa katika
ukumbi wa polisi jamii walipokuwa kwenye mafunzo ya utengenezaji wa
vitu mbalimbali kwa kutumia mikono, ikiwemo Batiki, keki, ubuyu, krips
na usindikaji wa vyakula na matunda yaliyoandaliwa na Kampuni ya
Wajasriliamali kwanza Entarprises ya jijini Dar es laam na kudhaminiwa
na Benk ya wajasriamali Tanzania [ACB]
ukumbi wa polisi jamii walipokuwa kwenye mafunzo ya utengenezaji wa
vitu mbalimbali kwa kutumia mikono, ikiwemo Batiki, keki, ubuyu, krips
na usindikaji wa vyakula na matunda yaliyoandaliwa na Kampuni ya
Wajasriliamali kwanza Entarprises ya jijini Dar es laam na kudhaminiwa
na Benk ya wajasriamali Tanzania [ACB]
akifafanua jambo wakati alipokuwa azunguza na wajasiriamali wa mkoa wa
Dodoma walioshirikai mafunzo ya utengenezaji na usindikaji wa bidhaa
mbalimbali yaliyofanyika kwa siku 4.
Meneja wa kampuni hiyo
Saravai Izinah akimtamburisha Meneja masoko wa benki ya wajasiriamali
Tanzania Inocent Ishengoma [ACB] ambao ndiyo
waliokuwa wadhamini wakuu wa mafunzo hayo yaliyodumu kwa kwa sik4 nakujumuisha wajasiriamali 1000 walishiriki wa mkoa wa Dodoma.
waliokuwa wadhamini wakuu wa mafunzo hayo yaliyodumu kwa kwa sik4 nakujumuisha wajasiriamali 1000 walishiriki wa mkoa wa Dodoma.

PICHA NA JOHN BANDA
No comments:
Post a Comment